• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WATAKAOPANDISHA BEI YA SARUJI KUFUNGIWA BIASHARA-RC KIMANTA

Posted on: November 18th, 2020

Wanunuaji wa Saruji Mkoa wa Arusha wametakiwa kudai risiti pindi wanapouziwa, ili kurahisisha ufuatiliaji kwa wafanyabiashara wanaouza Saruji kwa bei ya juu.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Iddi Hassan Kimanta alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini Arusha.

“Arusha hakuna shida ya Saruji, isipokuwa kuna baadhi ya wafanyabiashara ndio wanafanya hali ya Saruji kuonekana kama ni shida kwa kupandisha bei kiholela,”alisema.

Amesema Saruji kwa Mkoa wa Arusha ipo yakutosha na inauzwa kwa bei halali hasa kwa wafanyabaishara wa jumla.

Changamoto kubwa ilijitokeza ni baadhi ya wafanyabaishara wa rejareja kupandisha bei ya Saruji kiolela ili wajipatie faida zaidi.

Kimanta amewataka wafanyabiashara wa Saruji kuhakikisha wanafuata bei zilizopangwa katika Mkoa wa Arusha na atakae kiuka hatua kali za kisheria zitafuatwa ikiwemo kufungiwa biashara yake.

Aidha, wafanyabiashara wa rejareja wametakiwa kuzingatia bei ya Saruji kwa mfuko mmoja usizidi 17,500 kwa Wilaya za Arusha,Arumeru, Longido, Karatu na Monduli na kwa Wilaya ya Ngorongoro bei kikomo itakuwa 22,500.

Kimanta amesema maelekezo hayo yanatakiwa kuanza mapema Novemba 18,2020.

Mkoa wa Arusha umefanya ukaguzi kwa wauzaji wa Saruji Jumla na rejareja kwa kufuata maelekezo yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa mapema Novemba 18,2020 Jijini Dodoma.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MONGELLA AWATAKA WAKANDARASI WA UMEME KUWASILISHA MIPANGO KAZI YAO.

    January 28, 2023
  • KUMBUKIZI YA SIKU YAKUZALIWA MHE.DKT.SAMIA SULUHU HASSAN

    January 27, 2023
  • MAFANIKIO SEKTA YA ELIMU ARUSHA YAWA KIVUTIO KWA MAAFISA ELIMU KAGERA

    December 29, 2022
  • MPANGO WA m- mama WAZINDULIWA

    December 19, 2022
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa