• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ZAIDI YA WAGONJWA 450 WAPATIWA HUDUMA UPASUAJI WA MACHO BURE ARUSHA

Posted on: April 18th, 2025

Zaidi ya wananchi 450 kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Arusha wamepata huduma ya upasuaji wa Mtoto wa Jicho (cataract) bure, kupitia kampeni ya afya iliyoendeshwa na Madaktari Bingwa na Wabobezi kutoka nchini Hispania.



Huduma hiyo, iliyolenga kuwasaidia wananchi wa kipato cha chini, inafanyika katika Hospitali ya Wilaya ya Meru, na imepokelewa kwa furaha kubwa na jamii husika ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikikumbwa na changamoto ya matatizo ya macho bila uwezo wa kupata matibabu stahiki.



Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, ametembelea hospitali hiyo kwa lengo la kuwapa pole wagonjwa waliokuwa wakipatiwa huduma, na kuwapongeza wahudumu wote waliofanikisha kampeni hiyo ya kibinadamu ambapo amewashukuru wataalam hao kwa moyo wa kujitoa kusaidia jamii, akisisitiza kuwa jitihada hizo zinaendana na maono ya serikali ya awamu ya sita ya kutoa huduma bora za afya kwa kila Mtanzania.



“Mafanikio haya ni matokeo ya mahusiano imara ambayo yamejengwa na Rais wetu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kati ya Tanzania na mataifa mengine, jambo ambalo limefungua milango kwa mashirika na wadau mbalimbali kushirikiana nasi katika maendeleo ya sekta ya afya na Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wote wanaogusa maisha ya wananchi kwa namna chanya kama ilivyofanyika hapa.” amesema Mhe. Makonda.



Hata hivyo, Wananchi waliopata huduma hiyo wameeleza jinsi walivyokuwa wakiteseka na matatizo ya macho, na sasa wanayafurahia matumaini mapya baada ya kuona tena huku wakitoa shukrani zao za dhati kwa Ras Dkt. Samia Suluhu Hassan Pamoja Mkuu wa mkoa huo kwa upendo huo waliowanyesha.



Huduma hiyo ilianza kutolewa tarehe 13 Aprili na itahitimishwa 22 Aprili, 2025


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa