• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

ZOEZI LA SENSA HALINA ITIKADI YA KISIASA-RC MONGELLA

Posted on: August 16th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amesema zoezi la sensa halina itikadi ya kisiasa, hivyo kila mtu ana wajibu wa kushiriki na kuhamasisha wengine.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na viongozi wa madhehebu ya dini, Siasa, Kimila na watendaji wa vitongoji na vijiji wa Halmashauri ya Arusha katika kikao cha kuhamasisha zoezi la sensa.

" Zoezi la sensa halina itikadi ya kisiasa,niwaombe kila mmoja ashiriki kuhesabiwa na kuhamasisha wengine kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja, familia, Jamii na Taifa kwa ujumla".

Maendeleo hayaitaji siasa kwani ni kwa ajili ya kila mtanzania katika itikadi za kisiasa tofauti, hivyo tuungane kwa pamoja kuweza kulifanikisha hili.

Amewataka viongozi hao wakatoe elimu kwa wananchi hasa zoezi la sensa sio la siku moja bali ni siku 6 kaunzia Agosti 23 hadi 29 na usiku wa Agosti 22 kuamkia 23 sensa itaanza kwa wale wasio na makazi maalumu kama vile wasafiri.

Aidha, Mhe. Mongella amesema atakae husika kukwamisha zoezi hili ajue sheria itachukua mkondo wake bila kuonea yeyote.

Pia, Mongella amewataka wananchi wa kata ya Oljoro kuhakikisha siku ya tarehe 23  hadi tarehe 29 Agosti wanaacha taarifa zao majumbani ili iwe rahisi kwa karani wa sensa anapopita kuzipata kwa urahisi.

Amewataka wakawe mabalozi wa zoezi zima la sensa ili Serikali inapoleta huduma mbalimbali kwa wananchi kila mmoja aweze kunufaika.

Mhe. Mongella pamoja na Katibu Tawala bwana Missaile Musa wanaendelea na ziara ya kuhamasisha wananchi wajitokeze katika zoezi la sensa kwenye kila halmashauri ya Mkoa wa Arusha.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa