• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

DCEA KANDA YA KASKAZINI YATOA ELIMU YA MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA MPAKANI  WA OSBP HOLILI; SEKONDARI HOLILI NAO WAFIKIWA..

Posted on: April 1st, 2024

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini tarehe 27.03.2024 ilitoa elimu juu ya madhara ya matumizi na usafirishaji haramu wa dawa za kulevya na kemikali bashirifu kwa Maafisa Udhibiti wapatao 40 wa Mpaka wa OSBP Holili, Wilayani Rombo katika Mkoa wa Kilimanjaro.

Maafisa waliopatiwa elimu hiyo wanatoka katika Taasisi 20 za Serikali ambazo ni Jeshi la Polisi, Ofisi ya Rais, Uhamiaji, Zimamoto, TFS, TMDA, TRA, CED, TAEC, Mifugo, TPHPA, UM, TBS, FISHERIES, CFA, AFYA n. k.

Aidha, Maafisa wa DCEA wa Kanda kwa kushirikiana na Polisi Kata walitoa elimu juu ya madhara ya matumizi na usafirishaji haramu wa dawa za kulevya hususani Mirungi kwa Madereva Bodaboda na Wabeba Mizigo zaidi ya 50 katika Ofisi ya Kata ya Holili wilayani Rombo Mkoa wa Kilimanjaro.

Baadaye, Maafisa wa DCEA Kanda walimalizia kutoa elimu juu ya madhara ya tatizo la dawa za kulevya kwa wanafunzi wapatao 420 wa Shule ya Sekondari Holili mpakani hapo.

Hivyo, elimu hii juu ya madhara ya tatizo la dawa za kulevya, udhibiti wa usafirishaji wa dawa za kulevya na kemikali bashirifu pamoja na sheria ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya iliyotolewa itakuwa chachu ya kuimarisha mapambano dhidi ya tatizo la dawa za kulevya katika mpaka wa OSBP Holili na maeneo ya jirani yanayozunguka katika mpaka huo kwa kuwa wote hao ni wadau muhimu.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa