• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SIMAMIENI FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO-RC KIMANTA

Posted on: July 17th, 2020

“Nendeni mkasimamie fedha zote za miradi ya maendeleo zinazoletwa na serikali katika maeneo yenu”.

Yamesemwa hayo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mheshimiwa Idd Kimanta alipofanya kikao kazi na watumishi wa halmashauri ya Arusha katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo.

Amesema, serikali inaleta fedha nyingi kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo hivyo watendaji wote wa serikali wakahakikishe zinatumika kama ilivyopangiwa bila kuwa na upotevu wowote.

Pia, amewataka watumishi wa halmashauri hiyo kufanya kazi kwa amani, upendo na kwa kushirikiana kwani kila mmoja ana mchango wa kumuinua mwenzake katika utumishi wa umma.

Nae, Mkuruenzi wa halmashauri hiyo bwana Saad Mtambule, amesema halmashauri yake inaendelea kusimamia kwa umakini miradi yote ya maendeleo katika halmashauri hiyo.

Bwana Mtambule amesema pia hata stahiki za watumishi anaendelea kuzisimamia kwa mujibu wa taratibu na miongozo ya serikali kwa kuhakikisha haki inatendeka kwa watumishi wote.

Akitoa neno la shukrani Afisa Maendeleo ya Jamii halmashauri ya Arusha Bi.Angela Avaa amesema, wamefurai sana kupata mawaidha mazuri kutoka kwa Mkuu wa Mkoa na wapo tayari kuyafanyia kazi yote kwa ujenzi bora wa halmashauri hiyo.

Mkuu wa Mkoa amekutana na kuzungumza na watumishi hao kwa lengo la kutoa maelekezo ya namna ya kutekeleza majukumu yao katika utumishi wao wa Umma.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA 2 YA MAMA SAMIA AKIWA MADARAKANI

    March 19, 2023
  • BONANZA LA MIAKA MIWILI YA MAMA SAMIA

    March 18, 2023
  • UZINDUZI WA KITABU CHA MIAKA MIWILI YA DKT.SAMIA

    March 14, 2023
  • TUMERIDHISHWA NA MIRADI-KAMATI YA SIASA MKOA

    March 09, 2023
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa