Posted on: August 11th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amewataka makarani wa sensa Mkoa wa Arusha kuwa makini, wenye nidhamu na uzalendo zaidi katika kazi ya sensa na inapotokea changamoto watoe taarifa mapema.
...
Posted on: August 10th, 2022
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa leo Agosti 10, 2022 amefungua Mkutano Mkuu wa 44 wa kawaida wa CAF katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC) Arusha.
...
Posted on: August 10th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella amewataka viongozi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Arusha kuhakikisha fedha za lishe wanazozitenga zinafanya kazi za lishe pekee.
Ameyasema hayo kwenye kika...